Roho Mtakatifu

· Zion Christian Publishers
Livro eletrónico
269
Páginas
Elegível
As classificações e as críticas não são validadas  Saiba mais

Acerca deste livro eletrónico

Mfariji si kitabu tu kingine cha theolojia, bali ni mwongozo unaofaa sana na muhimu wa kuingia katika njia ya maisha yenye kujaa na kuongozwa na Roho. Wale walio na shauku ya kumjua Roho Mtakatifu kwa undani na kupata uzoefu Wake watabarikiwa watakapousoma uchanganuzi wa Dkt. Bailey wa mambo saba yanayomhusu Roho Mtakatifu:

·        Nafsi Hai ya Roho Mtakatifu

·        Huduma ya Roho Mtakatifu

·        Roho Saba za Bwana

·        Ubatizo wa Roho Mtakatifu

·        Karama Tisa za Roho Mtakatifu

·        Matunda Tisa ya Roho Mtakatifu

·        Maisha Yaliyojaa na Kuongozwa na Roho Mtakatifu

Acerca do autor

Dkt. Brian J. Bailey aliwahi kuwa rais wa Zion Fellowship International, Taasisi ya Huduma ya Sayuni (Zion Ministerial Institute), na Chuo Kikuu cha Kikristo cha Sayuni (Zion Christian University) kwa zaidi ya miaka thelathini. Katika huduma yake ya miaka hamsini, amesafiri kwenda katika nchi zaidi ya mia moja akihudumu katika makanisa, semina, na shule za Biblia. Pia, Dkt. Bailey ameandika vitabu zaidi ya sitini, akiwafundisha waamini njia za Mungu na jinsi ya kuimarika katika njia ya utakatifu ambayo inaelekea katika Mlima Sayuni wa kiroho.

Classifique este livro eletrónico

Dê-nos a sua opinião.

Informações de leitura

Smartphones e tablets
Instale a app Google Play Livros para Android e iPad/iPhone. A aplicação é sincronizada automaticamente com a sua conta e permite-lhe ler online ou offline, onde quer que esteja.
Portáteis e computadores
Pode ouvir audiolivros comprados no Google Play através do navegador de Internet do seu computador.
eReaders e outros dispositivos
Para ler em dispositivos e-ink, como e-readers Kobo, tem de transferir um ficheiro e movê-lo para o seu dispositivo. Siga as instruções detalhadas do Centro de Ajuda para transferir os ficheiros para os e-readers suportados.