Roho Mtakatifu

· Zion Christian Publishers
ኢ-መጽሐፍ
269
ገጾች
ብቁ
የተሰጡት ደረጃዎች እና ግምገማዎች የተረጋገጡ አይደሉም  የበለጠ ለመረዳት

ስለዚህ ኢ-መጽሐፍ

Mfariji si kitabu tu kingine cha theolojia, bali ni mwongozo unaofaa sana na muhimu wa kuingia katika njia ya maisha yenye kujaa na kuongozwa na Roho. Wale walio na shauku ya kumjua Roho Mtakatifu kwa undani na kupata uzoefu Wake watabarikiwa watakapousoma uchanganuzi wa Dkt. Bailey wa mambo saba yanayomhusu Roho Mtakatifu:

·        Nafsi Hai ya Roho Mtakatifu

·        Huduma ya Roho Mtakatifu

·        Roho Saba za Bwana

·        Ubatizo wa Roho Mtakatifu

·        Karama Tisa za Roho Mtakatifu

·        Matunda Tisa ya Roho Mtakatifu

·        Maisha Yaliyojaa na Kuongozwa na Roho Mtakatifu

ስለደራሲው

Dkt. Brian J. Bailey aliwahi kuwa rais wa Zion Fellowship International, Taasisi ya Huduma ya Sayuni (Zion Ministerial Institute), na Chuo Kikuu cha Kikristo cha Sayuni (Zion Christian University) kwa zaidi ya miaka thelathini. Katika huduma yake ya miaka hamsini, amesafiri kwenda katika nchi zaidi ya mia moja akihudumu katika makanisa, semina, na shule za Biblia. Pia, Dkt. Bailey ameandika vitabu zaidi ya sitini, akiwafundisha waamini njia za Mungu na jinsi ya kuimarika katika njia ya utakatifu ambayo inaelekea katika Mlima Sayuni wa kiroho.

ለዚህ ኢ-መጽሐፍ ደረጃ ይስጡ

ምን እንደሚያስቡ ይንገሩን።

የንባብ መረጃ

ዘመናዊ ስልኮች እና ጡባዊዎች
የGoogle Play መጽሐፍት መተግበሪያውንAndroid እና iPad/iPhone ያውርዱ። ከእርስዎ መለያ ጋር በራስሰር ይመሳሰላል እና ባሉበት የትም ቦታ በመስመር ላይ እና ከመስመር ውጭ እንዲያነቡ ያስችልዎታል።
ላፕቶፖች እና ኮምፒውተሮች
የኮምፒውተርዎን ድር አሳሽ ተጠቅመው በGoogle Play ላይ የተገዙ ኦዲዮ መጽሐፍትን ማዳመጥ ይችላሉ።
ኢሪደሮች እና ሌሎች መሳሪያዎች
እንደ Kobo ኢ-አንባቢዎች ባሉ ኢ-ቀለም መሣሪያዎች ላይ ለማንበብ ፋይል አውርደው ወደ መሣሪያዎ ማስተላለፍ ይኖርብዎታል። ፋይሎቹን ወደሚደገፉ ኢ-አንባቢዎች ለማስተላለፍ ዝርዝር የእገዛ ማዕከል መመሪያዎቹን ይከተሉ።