Mwanzo: Kitabu cha Mianzo

· Zion Christian Publishers
電子書
327
頁數
符合資格
評分和評論未經驗證 瞭解詳情

關於這本電子書

Kristo alipoulizwa maswali, mara nyingi aliwarudisha watu mwanzo, kwenye asili ya mpango wa Baba yetu wa Mbinguni kwa ajili ya uumbaji Wake. Katika ufafanuzi wake wa kitabu cha Mwanzo, Dkt. Bailey anaonyesha jinsi ilivyo muhimu kuelewa makusudio ya Mungu tangu mwanzo ili kuelewa mpango wa Mungu kwa wanadamu pamoja na kweli nyingi za kiroho zinazohusiana na maisha ya mwamini leo.

關於作者

Dkt. Brian J. Bailey aliwahi kuwa rais wa Zion Fellowship International, Taasisi ya Huduma ya Sayuni (Zion Ministerial Institute), na Chuo Kikuu cha Kikristo cha Sayuni (Zion Christian University) kwa zaidi ya miaka thelathini. Katika huduma yake ya miaka hamsini, amesafiri kwenda katika nchi zaidi ya mia moja akihudumu katika makanisa, semina, na shule za Biblia. Pia, Dkt. Bailey ameandika vitabu zaidi ya sitini, akiwafundisha waamini njia za Mungu na jinsi ya kuimarika katika njia ya utakatifu ambayo inaelekea katika Mlima Sayuni wa kiroho.

為這本電子書評分

請分享你的寶貴意見。

閱讀資訊

智能手機和平板電腦
請安裝 Android 版iPad/iPhone 版「Google Play 圖書」應用程式。這個應用程式會自動與你的帳戶保持同步,讓你隨時隨地上網或離線閱讀。
手提電腦和電腦
你可以使用電腦的網絡瀏覽器聆聽在 Google Play 上購買的有聲書。
電子書閱讀器及其他裝置
如要在 Kobo 等電子墨水裝置上閱覽書籍,你需要下載檔案並傳輸到你的裝置。請按照說明中心的詳細指示,將檔案傳輸到支援的電子書閱讀器。