Mwanzo: Kitabu cha Mianzo

· Zion Christian Publishers
E‑kniha
327
Počet strán
Vhodné
Hodnotenia a recenzie nie sú overené  Ďalšie informácie

Táto e‑kniha

Kristo alipoulizwa maswali, mara nyingi aliwarudisha watu mwanzo, kwenye asili ya mpango wa Baba yetu wa Mbinguni kwa ajili ya uumbaji Wake. Katika ufafanuzi wake wa kitabu cha Mwanzo, Dkt. Bailey anaonyesha jinsi ilivyo muhimu kuelewa makusudio ya Mungu tangu mwanzo ili kuelewa mpango wa Mungu kwa wanadamu pamoja na kweli nyingi za kiroho zinazohusiana na maisha ya mwamini leo.

O autorovi

Dkt. Brian J. Bailey aliwahi kuwa rais wa Zion Fellowship International, Taasisi ya Huduma ya Sayuni (Zion Ministerial Institute), na Chuo Kikuu cha Kikristo cha Sayuni (Zion Christian University) kwa zaidi ya miaka thelathini. Katika huduma yake ya miaka hamsini, amesafiri kwenda katika nchi zaidi ya mia moja akihudumu katika makanisa, semina, na shule za Biblia. Pia, Dkt. Bailey ameandika vitabu zaidi ya sitini, akiwafundisha waamini njia za Mungu na jinsi ya kuimarika katika njia ya utakatifu ambayo inaelekea katika Mlima Sayuni wa kiroho.

Ohodnoťte túto elektronickú knihu

Povedzte nám svoj názor.

Informácie o dostupnosti

Smartfóny a tablety
Nainštalujte si aplikáciu Knihy Google Play pre AndroidiPad/iPhone. Automaticky sa synchronizuje s vaším účtom a umožňuje čítať online aj offline, nech už ste kdekoľvek.
Laptopy a počítače
Audioknihy zakúpené v službe Google Play môžete počúvať prostredníctvom webového prehliadača v počítači.
Čítačky elektronických kníh a ďalšie zariadenia
Ak chcete tento obsah čítať v zariadeniach využívajúcich elektronický atrament, ako sú čítačky e‑kníh Kobo, musíte stiahnuť príslušný súbor a preniesť ho do svojho zariadenia. Pri prenose súborov do podporovaných čítačiek e‑kníh postupujte podľa podrobných pokynov v centre pomoci.