Kitabu hiki kinakwenda kukuletea historia ya Mitume,watu walio wachamyngu na makhalifa wanne baada ya kutawafu kwa Mtume Muhammad(s.a.w)。 Kitabu hiki kinakwenda kukuletea historia hizi kama zilivyotajwa kwenye古兰经。
Pia utaona historia za watu wa jamii mbalimbali zilizoangamizwa na Allah。 Pia utajifunza historia za baadhi ya wajawema waliotajwa ndani ya古兰经。 Baada ya hapo ujajifunza historia ya baadhi ya watu waovu waliotajwa ndani ya古兰经。